Jikinge is dedicated to empowering individuals and communities through impactful workshops, counseling sessions, and awareness campaigns, Our multifaceted approach ensures that we meet diverse community needs effectively.
If you're interested in making a positive impact and supporting our initiatives, we invite you to become a sponsor. Your contributions will help us reach more individuals and create meaningful change in our community.
Sponsorship provides essential funding that enables Jikinge to conduct workshops, counseling sessions, and awareness campaigns, helping us reach and assist more individuals in need.
About Jikinge
Through a holistic approach we aim to promote physical and mental wellness ethical decision making and personal growth.The program provides practical resources and expert guidance to empower participants to take control of their wellbeing
what we do
We conduct engaging workshops that cover a range of topics, from health to personal development and growth.
Our professional services offers support to individuals, couples,families and groups.
Through different campaigns we aim to raise consciousness about critical issues affecting our communities
We provide valuable health resources that equip individuals with tools needed to make informed decision.
Request service
FAQ'S
Kondomu ni kifuko kilichotengenezwa na mpira laini ambacho hutumiwa wakati wa kufanya ngono. Huvishwa kwenye uume uliosimama hivyo manii yanavyotoka kwenye uume huo wakati mwanaume anapofikia mshindo huzuiwa humo. Kondomu hutumika kama njia ya kuzuia ujauzito na pia hutumika kuzuia maambukizi yakiwemo ya VVU (virusi vinavyosababisha UKIMWI), kwa sababu huzuia uke usipate majimaji yatokayo kwa mwanaume na pia huzuia uume usipate majimaji ya mwanamke. Kondomu zimetengenezwa kwa mpira unaonyambulika kirahisi kutosha karibu kila uume. Pia zipo kondomu za kike huvaliwa kwenye uke kabla ya kufanya ngono.
Unatakiwa kuanza kutumia kondomu kuanzia mara ya kwanza unapofanya ngono, na kila unapofanya ngono endapo unataka kujikinga na mimba zisizotakiwa na maambukizi yatokanayo na ngono kama VVU. Huu ni wakati mzuri kwenda sehemu itoayo huduma za afya kupata ushauri kuhusu njia nyingine za uzazi wa mpango na kujikinga na magonjwa ya ngono. Hata hivyo, uvaaji wa kondomu unahitaji mazoezi ili ujiamini vya kutosha kuhusu kutumia kifaa hicho. Hii ndiyo maana watu wengine hufanya mazoezi ya kuvaa kondomu, hata kama bado hawajaanza ngono.
Unaweza kupata kondomu kutoka kwenye sehemu za huduma za afya, maduka ya dawa na maduka mengine makubwa na madogo. Kondomu za bure zinaweza kupatikana katika sehemu za umma zinazotoa huduma za afya. Kondomu zijulikanazo kama " Salama " zinagharirnu kati ya sh. 100 na 200 kwa tatu na zinaweza kununuliwa kwenye maduka ya dawa, vioski na maduka mengine. Aina nyingine za kondomu zinauzwa hadi kufikia sh. 1000. Hata hivyo hii haimaanishi kuwa hizi ni bora zaidi.